Mwanamuziki maarufu toka nchini Marekani,Sean Kingston akiwa na Mkurugenzi wa masoko wa TBL,David Minja (kulia) pamoja na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe (pili kushoto) wakitokea ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere usiku wa jana. Mwanamuziki maarufu toka nchini Marekani,Sean Kingston (pili kulia) akiongozana na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe (kati) kutelekea katika gari iliyokuwa imeandaliwa rasmi kwaajili yake wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere usiku wa jana. Sean Kingston akiingia katika gari lililokuwa limeandaliwa kwa ajili yake. baadhi ya wanamuziki walioongozana na Sean Kingston wakielekea katika usafiri walioandaliwa.baadi ya wadau waliofika katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha JK Nyerere kwaajili ya kumpokea Mwanamuziki wa Kimarekani mwenye asili ya Jamaica,Sean Kingstone pamoja na timu yake ambao wamewasili usiku huu na ndege ya shirika la KLM.
POLENI WADAU MTAKAO MISS SHEREHE HII YA TUNZO ZA KILIMANJARO
The College of Informatics and Virtual Education, is among the six colleges in the University of Dodoma it aims at increasing the size and quality of ICT skilled human capital base in Tanzania who can effectively and competently apply the ICT knowledge in education, research and development. The College will produce ICT cadres who can contribute in various fields of development, education and research as Computer System Analyst, Data base Specialist, Computer Programmers and Information System Managers.
The college contain two schools:
1)School of Informatics
2)School of Vitual Education
No comments:
Post a Comment