Thursday, May 20, 2010

MFUMO WA GHARAMA ZA ADA KWA KOZI MBALIMBALI NA GHARAMA ZA MAISHA BANGALORE- INDIA


TANZANIA STUDENTS ASSOCIATION BANGALORE
INDIA (TASABA)
Mwaka wa kwanza – USD 3650
· Maka wa pili - USD 1250
· Mwaka wa tatu - USD 1250
NB/ MFUMO HUU WA ADA NI KWA MASOMO YOTE ISIPOKUWA KOZI ZA SHERIA NA UDAKTARI.
GHARAMA ZA MAKAZI.
· Kodi ya nyumba kwa mwezi – USD 90 – USD 150
(KULINGANA NA SEHEMU)
NB/ Mfumo wa kupanga nyumba ni tofauti kidogo na sehemu nyingi. Unapotaka panga nyumba inabidi uweke dhamana ambayo huwa ni kodi ya miezi 10 mf: kama kodi ni USD 90 kwa mwezi inabidi uweke dhamana ya USD 900 inamaana (kodi x miezi 10) pesa hizi huwa zinarudishwa pale mkataba unapoisha.
· Gharama ya kununua vitu vya ndani kwa kadirio la kawaida ni –USD 500
· Gharama ya matumizi ya kawaida si chini ya USD- 100
Gharama hizi ni kwa ajili ya Bangalore tu.Kwa maelezo zaidi na ufafanuzi pale inapotakiwa tafadhali wasiliana nami :
Fidelis Msomekela – mwenyekiti (TASABA)
Mob: +919742176980
E-mail: marshallza@yahoo.com

No comments:

Post a Comment